| Sehemu ya Mabalozi na wagenui waalikwa wakimsikiliza Balozi Luis (hayupo pichani) |
| Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine akizungumza machache wakati wa hafla hiyo |
| Mhe. Waziri Membe kwa pamoja na Mhe. Balozi Luis, Mabalozi na wageni waalikwa wakimsikiliza Balozi Sokoine ambaye haonekani pichani |
| Bi. Kasiga ambaye alikuwa mshereheshaji wakati wa hafla hiyo akizungumza |
| Balozi Luis akimweleza jambo Waziri Membe |
| Maafisa Mambo ya Nje walioshiriki hafla hiyo. Kushoto ni Bi. Olivia Maboko na Bi. Tunsume Mwangolombe
|
| Mhe. Membe akimkabidhi zawadi Balozi Luis |
| Waziri Membe akizungumza na Balozi Luis |
| Waziri Membe akiagana na Balozi Luis mara baada ya hafla hiyo |
| Balozi Luis akiagana na Balozi Sokoin |
| Picha ya pamoja |
0 comments:
Post a Comment