KAMPUNI YA TAN COMMUNICATION MEDIA YAFUTURISHA JIJINI ARUSHA


IMG_3297
 Mkurugenzi wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha  Bw Robert Francis wakati  akifuturisha,hafla iliyofanyika katika studio za redio hiyo zilizopo Njiro jijiniArusha iliyoudhuriwa na Viongozi wa dini na wadau wengine
IMG_3270
Sheikh Mkuu wa Bakwata mkoa wa Arusha,Shaaban Juma aliyekuwa mgeni rasmi katika halfa hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya Tan Communication Media
IMG_3278
Mbunge wa Arusha Godbless Lema  wa pili kutoka  kushoto naye alihudhuria halfa hiyo
IMG_3267
Mkurugenzi wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha  Bw Robert Francis  akiwa na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema
IMG_3319
David Lwekiza Rwenyagira ambaye pia ni mtangazaji wa kituo hicho ndiye aliyekuwa MC
IMG_3325
Mchekeshaji  kutoka nchini kenya Peter Sankale maarufu kama “Olexander Jospat”katika igizo la VIOJA MAHAKAMANI akitoa burudani baada ya Futari
IMG_3312 IMG_3328 IMG_3320 IMG_3310 IMG_3299 IMG_3308 IMG_3336 IMG_3294 IMG_3267 IMG_3282 IMG_3260 IMG_3310 IMG-20140716-WA0018 IMG-20140716-WA0028
 Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Isaack Joseph akikaribishwa na mkurugenzi wa kituo hicho Robert Francis
IMG-20140716-WA0029
 Mkurugenzi wa kituo cha Redio 5  Robert Francis akisalimiana na mke wa Mbunge wa Arusha
IMG-20140716-WA0020
Wafanyakazi wa Redio 5. Na Pamela Mollel wa Jamii Blog
Share on Google Plus

About Gadiola Emanuel

0 comments: