TASWIRA YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA BI. ANANDE NNKO WALIVYOMEREMETA , JIJINI ARUSHA

Maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa na wapambe wao katika pozi la kuchukua Taswira.
Taswiras katika maeneo mbalimbali ya Ngurdoto Mountain Lodge.

Bwana Harusi Joshua Nassari akiwa amebebwa na wapambe wa Bi Harusi.
Bi Harusi Anande Nnko akiwa amebebwa na Bwana Harusi pamoja na wapambe wake.
Pozi tofauti za Maharusi.
Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja na wazizi wa Bi Harusi Anande Nnko pamoja na ndugu zao.
Maharusi wakiwa na Mzee Edwin Mtei pamoja na Mama Mtei.


Bwana Harusi Joshua Nassari akiwa katika pozi la picha na wazazi wake.


Mbunge wa viti maalum Lucy Owenya pia alihakikisha na yeye anakuwa kwenye kumbukumbu za Picha ,Baada ya picha safari ilikuwa ni ya kuelekea Ukumbini yote utayaona hapa hapa.
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments: